Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Iran kutegemeana na uwezo wake wa ndani, imepiga hatua kubwa katika uzalishaji wa dawa za kitaalamu.
Iran imekuwa nchi ya tatu duniani kwa uzalishaji wa dawa ya ugonjwa wa MS.
Maendeleo haya katika uwanja wa matibabu na dawa yameifanya Iran kuwa mmoja wa wahusika wakuu katika kusambaza dawa muhimu kwa ajili ya wagonjwa wa MS duniani kote.
Maoni yako